hapa kisungu inapiga yeye chenga
halafu huenda ikawa anaweza kuwasiliana kikamilifu na kuejieleza vyema zaidi iwapo atatumia kiswahili.
lakini kuna dhana ya kipumbavu zaidi inayotawala akili za wenyeji kanda hii; kwamba yeyote ambaye hutumia kiswahili kuwa lugha yake ya kimsingi ya kuwasiliana huwa anaonekana hajasoma ama ni mjinga ama amepungukiwa na maarifa na ungwana.
kwa sababu ya hiyo dhana, hawezi dhubutu kutumia kiswahilli kwenye mitandao ya kijamii japo ni dhahiri kwamba kiingereza hakielewi.
PHTO!!
You guyz OVERATE english ![]()
You got me wrong. I have said here countless times that ENGLISH is not the measure of success.
ANGEANDIKA KWA LUGHA AMBAYO ANAIELEWA. ANGEANDIKA KWA KISWAHILI.
Learning a language for more than a decade and failing to understand it’s basic vocabulary is a sign of mental retardation.
More than a decade??
Thought you guyz said he dropped the school bullshit in class 2.
amekua akiiskia na kuiona kila siku the man is a retard
Ndio auharibie lugha ya taifa???
Ok, so education is bullshit. You can see the result.
Sudi anakaa kuwa na a single digit IQ ata ukimuangalia tu
I don’t think his Kiswahili is any better. He is functionally illiterate! And these are the guys entrusted to run the country, ni kama kuchukua mtu wa mkokoteni Muthurwa and you make it a CFO in your organization.
Angeandika na kikale alejandro maritim @Billy_Graham alete translation
the language of instruction used the kenyan educational system is english.
lack of a grasp of basic english grammar is quite telling.
English is the most important language nyeuthiz speak.
