Sudi's Earlier Twitter Posts Before He Was Forced To Hire A Social Media Brand Manager

8 Likes

hapa kisungu inapiga yeye chenga

2 Likes

halafu huenda ikawa anaweza kuwasiliana kikamilifu na kuejieleza vyema zaidi iwapo atatumia kiswahili.

lakini kuna dhana ya kipumbavu zaidi inayotawala akili za wenyeji kanda hii; kwamba yeyote ambaye hutumia kiswahili kuwa lugha yake ya kimsingi ya kuwasiliana huwa anaonekana hajasoma ama ni mjinga ama amepungukiwa na maarifa na ungwana.

kwa sababu ya hiyo dhana, hawezi dhubutu kutumia kiswahilli kwenye mitandao ya kijamii japo ni dhahiri kwamba kiingereza hakielewi.

PHTO!!

4 Likes

You guyz OVERATE english :grin:

You got me wrong. I have said here countless times that ENGLISH is not the measure of success.

ANGEANDIKA KWA LUGHA AMBAYO ANAIELEWA. ANGEANDIKA KWA KISWAHILI.

4 Likes

Learning a language for more than a decade and failing to understand it’s basic vocabulary is a sign of mental retardation.

11 Likes

More than a decade??

Thought you guyz said he dropped the school bullshit in class 2.

amekua akiiskia na kuiona kila siku the man is a retard

Ndio auharibie lugha ya taifa???

Ok, so education is bullshit. You can see the result.

1 Like

Sudi anakaa kuwa na a single digit IQ ata ukimuangalia tu

I don’t think his Kiswahili is any better. He is functionally illiterate! And these are the guys entrusted to run the country, ni kama kuchukua mtu wa mkokoteni Muthurwa and you make it a CFO in your organization.

2 Likes

Murkomeno is worse, he is a functioning retard

1 Like

Angeandika na kikale alejandro maritim @Billy_Graham alete translation

1 Like

the language of instruction used the kenyan educational system is english.

lack of a grasp of basic english grammar is quite telling.

English is the most important language nyeuthiz speak.