Stupid media; POLICE SALARY INCREASE IS 9% NOT 19%.

Stupid media have splashed headlines POLICE have been awarded 19% kumbe ni 9% which is a patlry ksh.1,600 bob kwa constable.
PAYSLIP imetoka na hiyo 9%…ama iko mtu amemeza hiyo 10% imebaki?
Media should apologise.
kina @pamba ,bibi ameongeza budget…hakuna mambo ya matumbo daily tena…mpango wa kando pia ameona headline , an at aka kuhama nyumba kubwa na kuchange weave.

anyway serikali,mkiongeza watu pesa kidogo kama 1,600 bob ifichwe kwa page ya obituaries , wanaume ndio wanaumia.

Niaje Afande… Kumbe wee ni snitch.

What do you mean 9%? Its 100%.
https://www.standardmedia.co.ke/article/2001247283/police-get-100-salary-increment-ig-says

nugu hii me si snitch…soma update vizuri…ni issue facebook pages za cops …wanazusha mbaya sana…

ask any cop …kina @pamba walichezewa karata

Just like teachers

walimu pia???

The media is always compromised…every piece of information appears to be corrupt these days

its campaign season ,watu lazima wapangwe…19% sounds better than 9%

True…these politicians would do anything to get the numbers

1,600 bob inatoshea kununua kamba (na sijasema ni ya nini) na kalamu na foolscap (ile karatasi ya kuandikia barua). Kalamu na foolscap nitasema niya kuandika will, na bado iko change.

Mimi nilichanganyikiwa na ile story ya Serem when they equated salary cuts of around 8B to a reduction from 52%-35% of the wage bill…ama I missed something? Nichanueni for those who understand the maths behind it

Hahaha…sisemi pia what am thinking!!!

Nisawa tu,nimefanya hesabu mimi hapana mjinga[ATTACH=full]115529[/ATTACH]

nugu hii…polisi wakijinyonga, akina @pamba , utareport wapi bibi akikutandika??

Afande tafuta job ingine

hahaha…naskia hiyo 9% kwa payslip ati ni error…itakua rectified monday…usijali utakata raia ijae 42%

Can’t post what I know nikiwa changaa 8/8 2017 jubilee [SIZE=1]tena misri.[/SIZE]

Na hii job ndio nilikuwa naitishwa 250k na ata 20k salo haijafika. If i didnt change my mind saa hii ningekuwa prison warden

Sioni bribery ikiwa eradicated