Wake the fuck up!!
When will you ever stand up for your rights?
yaani kazi yako tu ni kuinua na kubangua kundu bila kutoa mayowe?
Get your lazy bum off the arm chair and make the gate keepers KNOW you are a citizen and will NOT be a laboratory rat to consume GMO takataka.
Uzalendo si kupiga kura pekee, uzalendo ni kujisimamia kwa njia yakudai haki za sera ya manufaa!!:meffi:
Nûgû ino
You are chewing cud now!
You suggested that I violently demand my rights so I asked you, does demanding ones rights have to be done violently?
You are the exact guillible that made Jomo get away with not only throwing the MauMau under the bus but also brand MauMau as a terrorist outfit.
The you chose to go along with the homeguard narrative that njaruo was the enemy…kwani njaruo alikuwa jirani ya mkikuyu?
Yes those njaruo are violent but at least they stand up for their rights, what are you??
Bootlicker!
Baada ya Rais wa Kenya kuhudhuria mazishi ya pepo Elizabeth, Alisafiri hadi marekani kujitetea apewe mkopo wa kusaidia wa Kenya kukumbana na makali ya njaa( kiangazi).
Hapo ndio masharti ya GMO( monsanto) ilitokea, achague Kati ya vifo vya ghafla kwa sababu ya njaa au vifo miaka michache baadae juu ya cancer. Kumbuka kuwa kampuni ya kutengeneza na kuuza dawa ya cancer lazima i servive.
Tukiwa primary school tuliimba ile wimbo ya “mzee jomo akasema rudi mashambani, leo hakuna cha bure.” Mlikataa kurudi mashambani, kuleni ile Arror atawalisha, hamna namna ingine.
Kenyatta university wamedonate shamba, Olive Mugenda amenunua machines za cancer, funeral home wako nayo, why are you worried?