Sijui kama ushawahi fall in love!?? Yaani…
Unapenda mtoto wa wenyewe hadi akikucall
unafeel tu unaeza tafuna na kumeza phone juu ya
vile anavoice ina kusound tam tam akikuita tu
“My Love” unaskia kupiga nduru… akikuambia
Mwaaaah! night swty unafeel nkama utatoa nguo
uende kupiga pressups pale Thika superhigh
way… Unaelewa hicho kiupendo chenye ukiwa
nae
unafeel unaeza piga wanaume 8 pamoja… Yani
ile love yenye mtashinda nae mchana na akienda
unaokoa jahazi ya 1000 ndo uongee nae usku …
Mapenzi ingine mzito
hadi ukiona soap operas unaona tu wanafanya
tizi coz yao haifikii yenyu … True love design mtu
anakuangalia kwa macho ndani na akuguze
mashavu kisha akwambie “I love you”, unajishkilia
kwa ukuta usifaint … Yani ukimfikiria unaeza lala
chini ya bed ku dilute hikyo ki feeling coz ni conk
… Mapenzi iko na upendo na
ka love flani ndani yake…Ile uko sure ni King
Solomon tu ndo ashawahi feel…
Umewahi kufeel hivo??? Ushawahi jipata hapo???
Suluhisho ni uwache kutumia bangi. Hii si love ni
ujinga
1 Like
Serkal lipa walimu shule zifunguliwe.
1 Like
[ATTACH=full]14404[/ATTACH]
5 Likes
Kcpe composition.17%
Title says it all " IT IS STOLEN" sawa?
If this is all you have to offer the world then my friend im afraid to tell you its not much. You’re hopeless
Handling stolen goods is a crime, especially here in ktalk.
1 Like
Wewe kula mandunya kwanza wacha kupayuka you could have put up an complex listing to spice this one
HEHEHEHHHEHEH NIMECHEKA SANA KAMA STORY YA KIJANA MDOGO SANA
Kijana ibanga vitu za maana buana
Upus
Kijana wako ama?if you find this not appealing y waste your time responding
Hehe naona umecatch hapo. Wacha nikupigie pole na hii
[ATTACH=full]14477[/ATTACH]
1 Like