@Sperminator

Boss. Oya! @sperminator. Uko sawa lakini??
I had to delete that thread about that MP.
Please if you have any concrete evidence why don’t you take it to the nearest police station?

That was a very serious allegation. Very serious.
Halafu hiyo ingine ya kuuza drugs…wacha hizo banae.
I hope you are OK.

1 Like

Umefanya poa tusiletewe ngori kijiji kifungwe tukuwe homeless

pole boss i got the story from telegram

1 Like

:D:D:Dnilikuwa nimeisoma nikienda kupost reply Nika’run into some problems’venye umenyenyekea Wacha pia mi ni zip…lakini ingebaki watu wangefungua roho because most of our leaders are:meffi::meffi:

1 Like

@sperminator nitumie Kwa inbosk.

@sperminator si ucheze ka wewe inbox nami nipate uhondo.

Inbosk hio maneno mkuu tuchambue

Wah. OK. The original author must have a fertile imagination…The only Telegram channel is trust ni Ile eMMNN ya Guka Dictator @Meria Mata.

Leta summary ya story

Leta link ya telegram penye ulitoa story.

Summary priss

Leta hekaya

umeanza umama ya kungoa na ku lock threads za talkers. as rep wa talkers tunakupea onyo kali saidi

Niko kazi Mdau.

Nonsense. Ni nini haijawahi semwa ktalk?

Pamba mwenyewe ni police officer na alikuwa anatusi commander in chief wake vizuri sana hadi anashiba matusi.

DCI @majizee huwa anaongea umeffi sana kuhusu sirkal.

Afadhali ungesema mmelipwa na political party ya huyo mheshimwa na hamtaki kumharibia sifa. Campaign season.

Poonda. Ushawai niskia nikisema kitu ingine ispokua Uhuru amefanya kazi buana?

Hapana afande.

Somebody sijui kama ni sperminator…has just posted the same story as it was Kwa Kijiji ya wazee…enda usome uko

Be a man for once and let us enjoy things. Ki-hii kioga sana. Ungepelekwa forest badala ya Marie-stops kutahiriwa