kuuliza tu kwani nyayo ndiye ako na secret code or alisahau kurudisha key ya statehouse?
Ati kila mtu lazma apitie kwake …ushenzi
no wonder Atwoli huitana washenzi hao.
mimi natambua baraka ni kwa babako… wachana na baba ya wenyewe abariki watoto wake
c ujua ile ndo mpango ya kando