If anyone here happens to know how to track down someone using phone no. Kindly hit my inbox. I need to teach a conman a lesson before the police give me their crap they always have in store for Kenyans who don’t get to tip them.
Hekaya ni baadaye.
Ongea na @Ebru
Is he using an iphone ?
what’s your budget?
Hahahaha! Braza dawa ni kuroga mtu. Nipe kazi, mtu apachikwe mimba ya ndovu. Leta jogoo bikra rangi nyeusi, jongoo moja la baharini na visigino vitatu vya kuku mwekundu. Hela tutaongea baadaye
Jogoo ataelewa, jongoo sifikilii anajua ni nini
Ataona ni typo. Hahaha
Nkazirokote wapi babayo?
What are you saying my bradha
Unajua jongoo ni nini?
Tuanze hapo
Tafuta @kitu yoyote itakusaidia kukupelaka mahali utazirokota, hiyo si shida yangu. Kwangu bora utimize matakwa ya dawa
Seriously? I neeeed heeeeelp you people don’t get it. Show me how to track down someone. Hana I phone.
Watu kama wewe ndio hufwa na kiu kando ya mto. Kisa na maana ‘haya maji yanaenda na kasi aiseh’.
Roga mtu. Vipi weye!!!
Mnajaribu kuderail # conmen manenos na vile ameniuma ubaya sijui kwenye anaishi.
Niaje jumakubaff! Vipi kusini?
Uko Nairobi ,inbox tuone kama utasaidiwa na usitume mbegu.