someone explain the following T & C ya equity bank...Eazzy loan

EAZZY LOAN Charge Interest rate Ranges between 2% p.m. – 10% p.m. which will be determined by your [SIZE=6]risk rating as determined by the Bank of the loan amount on a flat rate.[/SIZE] Late Payment Fee 6% p.a. above the normal interest rates on the amount outstanding

If you apply for a loan there are 2 options, you either get or don’t. If you don’t you are safe, if you get the loan there are 2 options, you either pay back or you don’t. If you pay you are safe,if you don’t there are 2 options, they either put you on crb or not. If they don’t you are safe,if they do there is only one option,you won’t be able to even access mshwari for a looong time.
#youdon’taskaquestionyoualreadyknowtheanswer.
#nikoveryidle
#hamaequity
#Justtrolling

3 Likes

So they charge 24% per annum- 120% per annum!!! Waah…
hii system ni ya majambazi,
ma-pastor majambazi,
ministers majambazi,
ma-lawyer majambazi,
na si vijana wa ghetto, maja-mbazi,
askari wazazi

5 Likes

…nafuata nyuki
na silaha na kufunga kazi

ni kunoma, watu wanatafuta na njia zote

unatolewa ushuru na pistol
kwa mdomo kwa jina la Kristo

6 Likes

Nairobi mji wa
wezi na malaya wanalia machozi za diamond kwa lodging
flying squad wanahoji
umetoa wapi gari na haufanyi kazi
wee ni jam-jam-jambazi

7 Likes

vita ni juu ya tamaa
mbio juu ya saa…

1 Like

badilisha magari kwa uwoga wa kufuatwa
andika will leo in case
kesho utamadwa
patwa na bibi ya reverend nyongwa na sacrament
pesa chafu kwa minister father na padre
sumu kwa kinywaji
hau-trust ata maji
family pia ni wauaji
tangu pesa pombe, nashuku macho zinaniangalia
shuku mikono zinanisalimia
gari zinaongeza mbio zikikukaribia
Nairobi mji wa
wezi na malaya wanalia machozi za diamond kwa lodging
flying squad wanahoji
umetoa wapi gari na haufanyi kazi
wee ni jam-jam-jambazi

6 Likes

jamaa anakula mahindi
na kutoa harufu ya njugu
na hata hakuenda matanga ya ndugu
hii ni system ya ma jam-jambazi

6 Likes

barua kwa @Jirani amevaa miwani aonekane handsome to my honey…

3 Likes

tumederail hii thread but ni poa kujua wazito wa hip-hop wako!!

1 Like

ka tunaweza ifanya tutaifanya tena na ka
tulisema siwezi rudia tena na ka
umenielewa hakuna time ya kucheza na ka
umenielewa sina time ya kupoteza

2 Likes

Nili chuadoh kitu bila something Sasa najifunza kufunga napkins

2 Likes

msichana sasa mama nashika tama
mawazo ninazo sikutumia condom nikichwado something
saa hii najifunza kufunga napkin

1 Like

huyu kijana Alikuwa ngori kabla akate dreadi akikimbiza pesa za ‘gospel’

3 Likes

Juliani? ata saa hii gospel zake ni conscious kivyake

Back then vijana Wa Dee walikuwa mambo bad. ma poet kuruka. Sii hizi ngoma za club za kijinga

1 Like

Kapuka this, Kapuka that
Kapuka this, Kapuka that
Kapuka this, Kapuka that
Ndio watu wakatike , watu wakatike.

3 Likes

akina Agano,Black Duo,Labala,Kitu sewer etc

1 Like

Ongeza hawa mafala wanajiita Kansoul

1 Like

@Patrome
https://www.youtube.com/watch?v=MtJnsrQQFeI