Ukipewa chaakula kama hii utakula kweli
[ATTACH=full]58080[/ATTACH]
Ukipewa chaakula kama hii utakula kweli
[ATTACH=full]58080[/ATTACH]
sema tu ulitaka iwe na mchuzi wa panty… senji
This meal is not served to visitors. Kichwa na mguu za kuku huwa tamu sana kwanza ukipika Kwa ile sufuria ulikua imepika kuku jana
Hiyo ni uniform ya jela,at a hiyo ni privelege kwa huyo mahabusu;)
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
ata kama ni jela mtu wangu.chakula kama hii hapana
Hiyo shingo akule makini,inakaa kuwa na mahindi kwa koo…
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
Hiyo ni githekuku…2 in one
:D:D:D
Mna ufala sana…:D:D:D
Huyo ni mama na amejipikia.
Hiyo uniform n ya mahabusu,na labda alikata mtu kichwa kama hiyo kuku,memories have a way of catching up with u…
This is a delicacy in nyanza province , was served with in kisii sometime back, including the claws. Had never seen it before , lost my appetite for chicken that day .
Apparently even the Filipinos enjoy this ,and worse
Hii si chakula :mad:!
ukiona afokando unajua tu huyo ni muthee @gashwin
vichwa, mara na vikerenge vya kuku huliwa masaba, in fact nothing is wasted except feathers and you know that…
bora pilipili na chumvi na ugali kubwa na supu ikuwe hio food iko tu sawa , kwanza hio shingo unangangana nayo mpaka ufikie kwa tonsils ya kuku na kichwa ukule ubongo na utafune skull ya kuku hapo sasa ndio unapata orgasm ya kushiba .
Hii food mbona haina ka soup:eek::eek::eek:. How’s the guy managing all that:eek:?
Kwanza unatoanga ubongo kwa kuivutia kwa hiyo mapua yake… Mtu hajui atasema wakiss kuku but ni kiss of the core.
Wewe ni pure blood kweli ama nyumbani ni pale stand khisa? @Wakanyama kuna impure blood hapa.
[ATTACH=full]58136[/ATTACH]
Hawa ndio wanapigana kwa counties za mungich,tainted blood