Slow Friday...

Besides kumwaga unga ukitoka kisiagi nini ushawahi fanya ukiwa mdogo ikafanya unyoroswo sana.
[ATTACH=full]183326[/ATTACH]

ukitumwa parafin ya 50 Bob unabuy ya 40 Bob unakeep change ya 10bob.

Unatumwa kwa shop unakuta wasee wanacheza ball unawajoin unasahau ulikwa umetumwa shop by the time unkumbuka unapata chapaa umepoteza…ile vita utachapwa haijuani.

Kurusha pilipili kwa jiko.

kukataa shule @class 1 …wueh…ile kichapo cha mbwa nilipata.wacha tu

kutupa battery ya saa kwa jiko iko na moto. battery ililipuka kama bomb, mothe alipiga nduru, sister yangu akakimbia kama a bat from hell akilia, na mimi nikajaa jivu moto kwa mwili na nikachomwa na ile maji ilikuwa inachemshwa kwa jiko. hio siku nilichapwa hadi na ile stock ya mahindi

kuiba wire ilikuwa imefence the community graveyard ndio me and the other kijiji boys tutengeneze zile toy cars za wire. mzee mmoja akatuona tukashikwa na kupelekwa kwa office ya chief. ile makofi tulipigwa na chief and his mboyz!!! up to now am never comfortable walking past that chiefs office.

was used to chase off porcupines from their hide outs hehe

https://www.youtube.com/watch?v=zR_2LX19dSk

Mimi na vijana wenzangu tulisikwa tukiwa juu ya miti ya avocado ya majirani. Tulikataa kushuka juu tulijua ni viboko. Tukapanda juu kabisa. We made them wait for 6 hrs tukiomba yesu ashuke atuchukuwe tu juu mwisho ya dunia imeshafika. Wazee wakaona tunaweza anguka wakaenda. Tulishuka haraka, kumbe in mtego. Walitokea mbio tukichapwa kila mahali. My friend nilichapwa anywhere randomly kwa kichwa mpaka mguu. The next day kuoga na maji baridi ni punishment. Vijana wote kijiji walikuwa wamejaa alama kwa mwili.

Unaenda duka ukirecite unga,sukari sabuni unarudi na unga switi sabuni

Mlisema hamna namba ya Nameless, would love this guy aje apee maboys a talk.

kuacha ngome zijigraze na kuenda duff mpararo. wacha ngombe ziingie kwa shamba ya wenyewe ya mahindi

Kuandika K U M A kwa choo ya home after innocently reading that in the school toilet, I still remember that beating. Transfer followed soon after

my friend and i ambushed the neighbor’s farm and slashed his sukuma wiki and spinach tukiwa class one, my friend had convinced me that the neighbor was copying us :D:D tukipanda sukuma na spinach anapanda pia, ile kichapo tulipata ilikuwa noma both from the neighbor and our parents