Slay queens wame upgrade ogopa

Achana na wale wanakula fare sikuizi unatuma fare na anashikwa na polisi unatuma yakumtoa ndani.
Be warned

leta hekaya banae

who the fuck would do that?? am I the only family member she has?? Ikifika ni vitu kama izo namwambia straight to her face apigie watu wa kwao

Mwanaume anakubali such anafaa kushikwa pia

hehe pia mimi nikiambiwa story za hospitali namwambia hivyo hivyo

common “emergencies” :
caretaker ako karibu kuja kufunga…deadline ni leo
kuna units nafaa kulipia supplimentary na fatheh hajatuma doh…
kuna harusi nafaa kusmamia nextweek na niko less na one gee ya nguo
niko hosi nimeambiwa niffod poisoning kuna test nafaa kufanyia but…
app yangu ya uber inahang niitishie ride

Haha na kumbuka kuna nyonyo isha wai niletea hiyo mambo ati bro yake ameshikwa na makarau na wana changa wamtowe hehehe nilimchapia me si yesu apambane na hali yake

Haven’t heard of that. Two weeks ago one told me shosh wake ame pass on. Told her cant send anything coz niko na mshwari yenye nimeshindwa kulipa. Next day naona whatsapp status, “Nakuru here we come, its gonna be hot”. And from that day she stopped the nagging chats.

Few months ago one called me, crying vile amekosa 1500 ya kumalizia kulipa rent na landlord amefunga nyumba. Told her I wont have the money. Next day I see whatsapp status ako “SGR Nairobi Terminal”.

What value will I get in return is a very important question a man should always ask before sending money.

:smiley: Your handle says it all.

Ujinga ni kipawa

Umeumia sana hii nairobi

Banange unakuanga mjinga sana. Leave alone the police case, who still sends fare in 2019?

Ukiambiwa upuzi kama hiyo jua tu huyo mwanamke alikuona hivi akajiambia “beta male detected.”

Alpha males hawaambiwangwi ujinga kama hizo. They can’t dare otherwise wanajua tu ni kudumpiwa papo hapo.

1.5 Million. Remember? Who’s the [COLOR=rgb(85, 57, 130)]BETA MALE now ?

Few month ago, mwingine aliniambia eti amekula 5k ya school fee na deadline ya unit registration imefika,akiambia wazazi watamgomeza.Nilimwambia ajipange…baadaye akasema eti amebakisha 2k.Nikwambia ajikaze…in the end alifanya mtihani

Mwingine hapo 2nd ananipigia eti landlord amefunga kwake hajalipa 2months’ rent eti mzae wake malaria imemweka chini so hajatuma pesa.
Haha nikamuuliza ni type gani ya malaria niingize guiness book…ameninyamazia sahii one month

“I don’t have money” does it for me always. Ukijifanya mjanja uulize nitapata lini I simply respond “sijui” ama “sioni hivi karibuni”. They respect you more after that.

haha…kweli,huyu wa mtihani alikuwa kadem kaluhya.Waah,alikuwa anajua kutetema vizuri sanaa kiasi akili yangu ilianza kulala,akinipigia hata saa tisa usiku anataka 10k,nilikuwa najipata nimempa…Damn she had a good puthy.

But shida ni kuomba na hizi emergencies zake like 5in a week.Vile akili yangu iliarudi kwa normal alpha spectrum,nilitwanga nikasepa…

si mimi rafiki amesema nishtue wanaume

Rule 1. You can’t negotiate genuine desire. Kama hawezi tumia pesa yake kukupigia simu ama kuleta pudesh wacha abaki nayo. Wacheni kudate broke women endea wale wakona kazi angalau.

Watu husema shiny eyed ladies ni gold diggers hawajawahi kutana na a luhya or luo lady who has placed a premium on her pussy. Utaombwa pesa mpaka utii.