Skul fizz is Killing Us paroz

Jaba1 : Leo ni opening day bana nimetoka kulipa mathao kama 160 ya mapickney wa mine. Hiyo si ni kama mita nusu kwa mwaka… Mwanaume ni bidii, nakwambia. Ebu pitisha hiyo kikombe Maish.

Jaba2: Hiyo Kama unalipa kuanzia class 1 si hata ununue Tu Range Rover alafu uipake rangi ya gold Kama sonko

Jaba3: Hizo ni shamba Kama foti huko Ruai… Kai!

Jaba4: Naona zimeshika Leo hadi mumeanza kupeleka watoto private…

[ATTACH=full]376298[/ATTACH]

Kuna kaukweli mahali

Wacha kuchokoza @Chiefkiumbe

https://www.youtube.com/watch?v=gL9nOcZWDU4

Huyu dem Shipira hunibamba tu,nkipata at a dark corner nitamwaga ndani

Kitu jeshi kama hii huwa wana discuss most of the time huwa nonsense :D:D:D

:D:D:D:D:D:D