Hey guys npeeni advice nmekua kwa ndoa sinces 2019; am 27 na sjai pata mtoto bwanangu Ako 33 nmekua na stress sana ju doc alisema siez zaalast year mwez wa tatu I talked to my sista shida yangu na nkamsho azalie Mzee wangu mtoto atlst aitwe baba siz alikubal nkaongea na Mzee pia akakubal so walimeet wakasex sai my sista Ako pg na alirentiwa hao anabaiwa kila kitu anataka atujakua na shida yoyote naeza ajilia Mzee wangu aende akae na yy sometimes akiwa off anakaa uko kitu 1 wk then anarud atujakua na shda yoyote till sato siz amekuja kwangu kitu saa moja usku nkamuuliza shda n nn akansho anafl kukaa karibu na baba mtoto I was surprised nkamuuliza ka amecal victor akansho amemcal na akamwambia akuje aishi,Mzee alirud kitu saa nne nkamuuliza akasema n ivo ataish,guys help me am confused nitaish aje na sista yangu kwa hao moja wazazi wangu ata awajui I story nafl like npack vitu zangu niwaachie nyumba,kutokea Sunday siz amekua to mwingne madharau akuna kitu anafanya alafu Kuna kitu nlidanganya hubby anajua me nlisoma but skumaliza shule ju ya school fees nlimuchocha ju nlikua oredy nmempenda but siz amensho atamwambia ukwel nisaidie plz nafl nrudi home niwawache nakaa desperate
Kupeleka hii tucker tucker ------------------>>>>
Tafuta wamama wenzako mkafunge leso uko facebook mkitengenezwa makucha
1 Like
Giant tales.
Piece of fictional article written by an illiterate imbecile
yes. it is even very irritating to read. Nimefika nusu
Hata heri wangetafuta mzee mwingine wa nje.The sister will take over her household and she’ll be kicked out.
Full stop na comma zilikosea watu nini lakini jameni. Nimesoma the first 4-5 lines bila kupumua i almost fainted. Mtu amesoma akaelewa anaeza ni brief ka kuna kitu ya maana but i doubt
hii ni copy paste sister ya kapoti ndio aliandika
umafwi thread
vipi ankoo niweke telegram