Simu ya Sabina imeibiwo

@johntez_addi_gaza_ms hii simu imefika headquarters

Janta safi

2 Likes

tunangoja mavidaa na maphoto zi leak sasa.

2 Likes

Kama FBI waling’ang’ana for weeks ndio wakatoboa… nani hapa ataweza unlock iphone without calling Apple?

1 Like

Wacha tuone kama kuna picha akilala fofofofo kama mama miradi after kupokea kuni sagwa sagwa

4 Likes

You believed that shit? About FBI demanding Apple to hand over the phone credentials bla bla bla Those iOS security apps are dismantled hapo Nairobi, Wacha hata FBI. Naïvity walai

2 Likes

Hii kanairo hakuna password kina @johntez_addi_gaza_ms hawawezi crack

CID washindwa kufungua simu ya murder case, wakaendea apple, apple wakawasho go hug a cuctus it won’t happen.

So long as security ya apple ilitengezwa na binadamu then bado kuna loophole sema tu iko different kidogo na android thats why wakiona kimeumana wana upgrade. Hamjiulizi hizo upgrades ni za nini? eti FBI

UWONGO!!

Sema wallae?

Sabina has weaknesses, but Millie Odhiambo is a sewer rat.

Siongeangi na wezi

1 Like

Huyu nimekuwa na yeye airport Jana saa tatu, na si alikuwa na simu. Though her left arm was still bandaged

Angusha sex tapes za waziri chacha. Akifinya hio roto tank Kwa nyasi za hapo parliament.

Naivity saidi.Pale Fedha kuna jamaa mmoja hu unlock simu zimeibiwa including iphone14 promax.Amekuwa very popular hadi sikuizi simu ikiibiwa kwa club za hizo maeneo the first port of call ni kwa huyo jamaa.Unamshow simu make flani ikiletwa hapa ikuwe unlocked unipigie simu.Ukimwachia za macho utapata simu unless ipelekwe kwa wajananja wa imenti house

2 Likes