Simba one at state house

Tulitransfer kula huko, tukalala huko, tukaenda sote kupiga kula but our candidate got only 30k from 130k

1 Like

kweli mlikula kiapo

2 Likes

Mkuki Ni tamu kwa nguruwe Na chungu kwa binadamu.si wako Na nyongo? Rails must be having fun watching the two spewing bile

:D:D…silabi ya ‘r’ na ‘ra’ ina mushkil kwa sasa.

1 Like

Kama alishinda cha ukweli, anakula ndimu ya nini?

You wish

Kwani raila aliwafanyia nini nyinyi wa mumbi? Hiyo chuki Ni conc.sana

I hate the idiot with a passion. Ata mimi nitasema kama Okwonkwo, nikapata grand daughter wake atatii.

3 Likes

Kwani juu mtu haelewani na wewe inamaanisha ni mkikuyu?

1 Like

Start getting used to him.he will be your leader for the next five

@jaymoh niaje