Simba 1 - Mtwapa

President Uhuru Kenyatta addressing residents of Mtwapa in Kilifi County.
[ATTACH=full]55764[/ATTACH] [ATTACH=full]55765[/ATTACH] [ATTACH=full]55766[/ATTACH]

niaje musubcounty?huku subcounty ni kazi tu ,malami kwa mabarabara

Poa Sana Wakameat, Tell me barabara ya waithaka kirigu to ndunyu iko na rami

sasa babu itabidi Aeende huko tena kusafisha hii…mnachokesha baboun bana

haogopi alsabab!!!

ndio wanaendelea kuweka,na kale ka waithaka kupitia kwa chifu mpaka muthama bado kanawekwa lami

Sihako kalikua na rami toka kitambo, wapi @Purr_27 na @Lucky_Luciano

ilikuwa imeisha na serikali ya kibaki

Na hio ya kuenda ruthimitu and kagira primary schools?

Paisley shirts iko sawa.

he he he
huko ni kwa mapeasants

Mimi kama mwachama wa ODM na sema coalition government started all this

Siku hizi hawezi kuwafuata. Going after UK to Israel, France, etc. broke his bank, na pesa za Paybill 673672 na 673673 zikaisha.

alipitia club Kenda ama Maggie alikuwa radar?

Alienda kufungua “sabasaba” ya Mtwapa. Since the original one pale Island Msomali bought the place and chased the marayas away. I hope alichukua maraya mmoja akafikisha threshold.

Soko bado iko! Bar pekee yake ndio ilifungwa!

Eeeeh !!! I thought Msomali alisema maraya ni haram…Kama vile fobe ni haram akaamua kuchuja hizo pub…

Lodge haikufungwa! Na kuna good old Sabasaba Bar, Maswa Bar na Limuru Bar around the place!