Silly prank

Wandering on the interwebs.

2 Likes

[MEDIA=facebook]1127079443968844[/MEDIA]

5 Likes

Why they do the fat guy like that?

1 Like

Mpaka amechiziā€¦ looooooooool

1 Like

Nimecheka mpaka nikamwaga chai bana. Hii ndio unapatanga mtu ameua unaambiwa sababu ni shampoo unashanga.

1 Like

Huyo mrasta amepiga huyo jamaa

1 Like

Amempiga si umecheki amemtackle. Hawa watu hua wanarisk bana kuna beshte yangu nilimshtua ile ya kawaida kimchezo nakwambia tu alireflex na ngumi ya jicho mpaka nikaona vimulimuli.

1 Like

:D:D:D
pole

1 Like

better

1 Like