Sikia hii ya kocha mpya wa harambee star

Ati kucheza ng’ambo sio tiketi ya kupata namba true kwa kikosi bora ya taifa

Ina depend in ngambo gani.MTU kama waniama hawezi kosa namba.

Kuna player wa Egypt alileta maringo juu alikuwa anacheza EPL…coach wa Egypt alimtupa nje ya squad. Forgotten his name though but was a star player then in the EPL

hivo ndo wanyama ameambiwa

Mido

Yessss. That one. Thank you

Hata Okumbi alijidai kujua sana akisema ‘’ Just because someone is a top scorer in the KPL , doesn’t mean he will score when playing national ‘’ … na hivo ndio ujinga yake ilijulikana … kuweka watu hawa-perform anywhere expecting miracles from them .

That means those mediocre players from Kariofegi Sharks ndio bado watakuwa squad. Nyani ni wale wale, misitu ndio wamebadilishiwa sasa

hapo umeongea kweli kaka

True no wander kenya hatutawahi enda mahali

Nick owns Kariobangi Sharks, though amewatoa mbali.

Ndo bado tutabaki nyuma tu kisoka kenya