Hehe,especially during this festive season, mchungane na hawa red eyed mungich sana .
[ATTACH=full]23843[/ATTACH]
Hehe,especially during this festive season, mchungane na hawa red eyed mungich sana .
[ATTACH=full]23843[/ATTACH]
@Wakanyama kuja hapa
@Wakanyama uko na mashtaka ya kujibu,kilo Mzima ulipeleka Wa pi
Hehehe. Wizi. At this point perhaps we start going to the butchery with our own scales. Ever noticed how kwa butchery za mtaani there’s no one time when the measuring weights are removed from the scale? My guess is the meat pan is already laden by a few tens of grams so there is no time you’re buying your money’s worth of meat.
Wakameat hebu kimbia huku very fast ufafanue hii maneno mzae.
Ameweka kwa supu.
wakanyama lazima atengeneze pesa, nyinyi hii nyairofi mlikuja kutembea?
Heehheeee
:D:D:D… @Wakanyama, how do you plead?
Na si pia huyu @Wakanyama yushukiwa kuuza nyama ya punda na paka…
It might be the case of rigor mortis, labda before anunue haikuwe imeset in but akifika home ikakuwa ivo but one kilo is too much…
Hizo weighing machines za that ka-pan…THey were using hadi Magnet huku chini…Nyama inawekelewa, Latiri ikishuka unadhani ni Uzito kumbe mazingaombwe ziko huko chini…Spark inavuta kapan chini…Then kila time unaishi kujiuliza Mbona everytime u visit kubuy the same quantity but size haitoshani in every visit…Best answer utapata, ni…“Hiyo ni nyama ya leo bado iko na maji na ya jana ilikuwa ya Juzi so haikuwa na maji mob”
@Wakanyama Mutura & samosa unatengenezanga na nini?
hata mkate huwa imeandikwa 400gms when packed,nani hajui nyama huwa inamwaga maji?
Placenta and embryos, minced then onions and pilipili are added.
For the electronic weighing machine, always check the weight reading as opposed to the price reading…they use the same machine to weight all kinds of meat.They have to adjust the rate before weighing your kind of meat. Unaweza pimiwa nyama ya ngombe na rate ya nyama ya kuku au mbuzi.
ukicheza unakatiwa nyama iko na mfupa :D:D:D
Wakanyama has rebranded[ATTACH=full]23866[/ATTACH]
NI NYAMA GANI HUWA HAINA MIFUPA?HATA STEAK NI KUTOA HUWA TUNATOA