Shikilia Keg

Merry Christmas my people, plz, mtu ajitolee kunishikia cup kubwa 70/=. Till number 747041

Tumia handle yako real

Nimekutumia cups kumi hapo

Nami nimemtumia 1400/- hizo ni cup gapi?

Hizo ni cup thirty Sasa …jamaa afungue base yake ya keg hapo nje.

:D:D:D

Keg siku hizi ni 70 bob?

Ile ya black. Cup ndogo 50 bob.

Time nlikuwa nakunywa keg 5 years ago, cup ndogo ilikuwa 30 bob na hiyo kubwa 50 bob. Jug ilikuwa 200 bob.

But nilichorea keg juu nliona unaeza kuwa ki-fala fala ukizoea kukunywa keg na lowlifes.

Sure. Huwa tu kwa dingy joints. Pia huwa inakata libido.

Anything but kukata libidos my guy… that’s the real ether

Base za keg huwa zimejaa maomba omba tu

Na wezi.Mse anakaa next na wewe anajifanya mastory kumbe anatry kuskuma wallet ianguke.Base za keg zimejaa tu machokoraa.

Nimeexpirience hii

Keg ni pombe ya machokoraa na maraya wachafu wenye huuza kuma 50/=

:D:D:D:D:D hapana chekelea peasant banae