You end up doing things that make no sense like what woman plays golf as a leisure activity in their mid thirties? Lakini juu kamzee lazima kafuatwe kila mahali ndio kasichukuliwa na younger, hotter female with everything shoe don’t, lazima amfuate kila mahali
Monied kikuyu men huwa washenzi sana. Hii ati ndio mali safi ya birrioneas. Slumlords wa pipu, imara na Zimmerman huwa wanaweka gachungwa zinafanana kama wamama wa goodhope saa hio anaingiza 7 figures a month as rent.
wanaume na wivu, why do you think young girls can’t make their own money?
the lady has been uhuru blogger for 10 years plus, what do you think it’s her retainer?
she’s currently working for nepad, how much do you think she’s paid? Don’t you think for those 10 years she’s bagged enough tenders to last her for generations?
Men are feeling jealous because they can never match her, she’s outside talkers league hence the bile.
:D:D:D This is very true. I have a neighbor anakaa hivyo amewekwa by a kiuk supermarket Tycoon. The sponyo shows up na pick up ya supermarket hiyo ya kubeba fridge for deliveries
Hehehe pale club i7 bypass opposite Kamakis nawaonanga sana.Jamaa ni tycoon wa ma petrol station lakini ameweka mama kubwa nono round kama roto tank.Wakilishana nyama choma.