Real2
September 21, 2023, 7:04pm
2
Wariah will come and offer them millions and put up their own apartment blocks
3 Likes
Dump fellow, just put up a nice green shed at the back.
Ndindu
September 22, 2023, 4:45am
4
cortedivoire:
According to dense Low IQ Negroes, Gorofa ni maendeleo yet things such as Sewerage are not tken into account.
NIABM
3 Likes
Heke
September 22, 2023, 5:02am
5
I ndio life…unaongeleshea vizuri na jirani anakuambia ata kama ni gorofa weka dirisha iyo side ingine…wewe ju ni new money unaona hauwezi skia unamwambia fuck you na ye anasema mtombwe nyi wote mpaka shosho yenu…this is the nigga language…guess how fast the houses with windows blocked will be vacated
1 Like
slevyn
September 22, 2023, 6:57am
6
4 Likes
Kodiaga
September 22, 2023, 10:42am
7
hehe tenants watapotea ivo
1 Like
Hehe, hii ndio kitu niliambiwa, utajenga kwako kuzuri alafu baadaye kutakuwa na magofora. The good thing about haka ka area Niko ni homes watu wanejenga so gorofa zitakuwa tricky kupandishwa.
Nilisoma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
2 Likes
Yuletapeli:
…Hehe, hii ndio kitu niliambiwa, utajenga kwako kuzuri alafu baadaye kutakuwa na magofora. The good thing about haka ka area Niko ni homes watu wanejenga so gorofa zitakuwa tricky kupandishwa.
Nilisoma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
Yuletapeli:
…Hehe, hii ndio kitu niliambiwa, utajenga kwako kuzuri alafu baadaye kutakuwa na magofora. The good thing about haka ka area Niko ni homes watu wanejenga so gorofa zitakuwa tricky kupandishwa.
Nilisoma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
Huko uko ni ruai?
Ka 50*100 how much?
1 Like
muritugi:
…enga kwako kuzuri alafu baadaye kutakuwa na magofora. The good thing about haka ka area Niko ni homes watu wanejenga so gorofa zitakuwa tricky kupandishwa.
Nilisoma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
Huko uko ni ruai?
Ka 50*100 how much?
Inategemea na muuzaji. Sahi utaskia mtu akisema 2M
Yuletapeli:
…a. The good thing about haka ka area Niko ni homes watu wanejenga so gorofa zitakuwa tricky kupandishwa.
Nilisoma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
Huko uko ni ruai?
Ka 50*100 how much?
Inategemea na muuzaji. Sahi utaskia mtu akisema 2M
2m iko sawa…
Nitakam huko prospecting
1 Like
JasonK
September 24, 2023, 7:03am
12
Na hiyo 2m kukinyesha ni accessible?
muritugi:
…iko ni homes watu wanejenga so gorofa zitakuwa tricky kupandishwa.
Nilisoma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
Huko uko ni ruai?
Ka 50*100 how much?
Inategemea na muuzaji. Sahi utaskia mtu akisema 2M
2m iko sawa…
Nitakam huko prospecting
Kuja kamulu, hio place iko fine. Weather iko sawa na watu si wengi sana.
1 Like
Yuletapeli:
…ma story ya pale umoja vile watu hapo 90s walikimbilia umoja wakajenga homes, sikuhizi wanacheki vile kunakaa vibaya wanatamani tu kuhama but inakuwa ngumu juu hawana pesa. Hio place ni noisy na chafu
Huko uko ni ruai?
Ka 50*100 how much?
Inategemea na muuzaji. Sahi utaskia mtu akisema 2M
2m iko sawa…
Nitakam huko prospecting
Kuja kamulu, hio place iko fine. Weather iko sawa na watu si wengi sana.
Was in kamulu… Plot was around 1m
But hio solar waah… ikani turn off kabisa
I prefer cooler weather kama kikuyu na limuru…
But huku plot nayo ni 7m…
1 Like