shida gani hii?

Hata kitu ya kukula sina,naye landlord nasikia alikuwa akinitafuta.why me?

Na badala ya kununua chakula, ukaamua heri data bundles… Isokey…

20 Likes

Ni chakula gani ya 20 Bob?

Kill yourself

ile ya kiaganu…

6 Likes

skuma na na mayai moja

8 Likes

hakuna MTU atajali,itakuwa bure tu,why do people hate me?

hata yai ni luxury…sukuma angekula supper na lunch kesho.

4 Likes

Nizichemushe?

Pole sana kizee, all is not lost. At times progress misquanders as trouble. Lakini kizee kiti lazima.

2 Likes

Sukuma tumiti tank hata kuku inaweza tosheka? Unga sina

huna njaa…

Mashida shida tu,kwani huku hakuna watu wakarimu?

survive tu leo uko chini kesho uko wewe ni mwanaume

Ongea na @Kihii Kiaganu akuoneshe vile uta-survive na 20/= for a whole week, leave alone one meal!

Uliambiwa KTALK ndipo watu hawana food wanapatanga msaada??Uza simu ununue food…nugu wewe

Because ur stupid. In 2017 haufai kulalamika njaa

Siku moja hata wewe utapatikana utajua kulala njaa ni nini na hata kesho huna matumaini

Ni sawa

Wewe ni mwanaume mzima amekuwa wacha kuwa na mawazo kama ya mende hivi.

1 Like