Pale Gikomba wamepewa a 10 days notice wajiondoe upesi.
Maendeleo walitaka imewafikia sasa.
Pale Roysambu na Githurai, wameanza kuona maendeleo live live. Watabomolewa vibanda zao na hakuna kitu kenha watajenga. Pale gikomba kutakuwa na uwanja iko idle for another 2 years.. na mtu akijaribu kuingia kufanya lolote lile atalala ndani.
Road reserve is exactly that. Empty land until expansion of the road. That is no excuse for “mama mboga” to use the land.
Yes, maendeleo na community discipline lazima