Senator keg truck overturns in kisumu

2 Likes

Pale kiambu/Murang’a na kirinyaga walevi hutembea na vikombe na silaha kama hizi… hii ni chance imeenda hivo. @ChifuMbitika na others..

Kubebana na mitungi mbili ya keg ikiwa full ni more than 120 kgs :green_emoji: ni balaa na hauna ata pump labda uuzie mtu ako na chuom ya keg

1 Like

You are an IDIOT! Stupid statement from a stupid person. Shurrup!

1 Like

Reu nike mani… nasema tu vile kuko kwa ground

Keg fresh ni tamu lakini ikikaa sana kwa mtungi inaonja kama makojoo ya punda

1 Like