Mali safi kutoka majuu
Pantech 8k
S2 5k[ATTACH=full]33368[/ATTACH][ATTACH=full]33369[/ATTACH][ATTACH=full]33370[/ATTACH][ATTACH=full]33371[/ATTACH]
Wenye hizi simu sahii vile tunazungumza, wanaongezwa maji ama formalin?
:D:D Can see you are back with a bang:D:D
Ukiangalia poa hio ni logo ya kampuni ya majuu nigga hazijatumika africa
Siku za mwizi ni arubaini.
Yaani this is the only popular social media website with a known resident thief/robber/pickpocket.
siku yako itafika tu kama ya @Kidinyi
wee askari traffic huezi elewa hii mambo
Maybe I was very belief so in details;
Pantech Vega 6
5.9inch Natural Display
Snapdragon S4
13 MP camera
32GB internal
4G enabled
NFC ready
T-DMB TV tunner (i dont knw whether inaeza Fanya kazi huku @Meria Mata confirmation needed)
http://m.gsmarena.com/pantech_vega_no_6-5268.php
Na hio s2 kyenye iko nayo tofauti t ni 16GB ROM.
So mnanunua ama nipeleke kwenye nimezoea
Can’t work here.
We use DVBT2
ningenunua lakini…
Kununua hizi simu zako nikujitia kitanzi
…lakini hujalipa rent tunajua
Kamiti is not a joke. Ukipatikana nayo wewe ndiye uliua mtu.
tupe email.
wee…simu zingne zinaweza kata kufanya huku ww
[S]
[/S]
nishauza maskini nyinyi, najaribu kuwanjenga ni porojo tu, endeleeni kuringa na hizo infinix expiry date yake iko karibu