nimeamka like 30mins ago. penis tip was wet nkashindwa ni aje na sijakojoa. kuiwiden kiasi liquid iko white white. nkaishia kunyora coz i felt like mkojo imejaa. kunyora ni mkojo kidogo hata c ya kupeleka mtu choo. saa hizi penis iko wet wet bado na naskia kunyora yet niko sure bladder iko empty.
swali ni, hii ni nini. Ni infection? Ama ni nini hii. Ama ni normal.
note, nlisex jana bila protection but ni manzi wangu
UTI niliwahi kamua dame ako na yeast niliishi hivyo for one week, boxer ilikua inakua wet ni kama malaya amaeona winner wa jackpot ya sportspesa. Lakini usijali, dakitari wa miti shamba alinieleza ni apply natural yoghurt kwa hako ka shimo na nisukume ndani itaua hizo bacteria na iliwork
Enda Tororo Hospital in UG, they have a special unit ya ku tread STD’s coz Ugandans dont believe in condoms. Atleast no one knows you there, so you are safe. Fare ni 2200/- Gateway bus to UG via Malaba, NOT Busia. Quick recovery…