Saudi Arabia; Khashoggi & African Mboches!

Wale ma birrionares wa kutuma ma pipi na dada zao kule uarabuni, the writing is on da Tv screen, Kama wanaweza katakata mtu wao kama Nyama ya Kikopey just for posting critical articles, sembuse Wa Africa? wanatuona kama Watumwa! …ok in Libya its literally slavery.

Unajaribu kusema nini burukenge?
Ni usiku wa manane na badala ulale unafikiria vile bibi anatiwa Saudia, pole mzeiya.

Kama pipi ako sauudia pooooole

Rudisha bibi nyumbani.
Panya ii.

Saudi Arabia ni mwoto wa kuotea mbali!

I hear the Arabs compare us to apes that can talk. But they still find our women sexually appealing…

Mbona mnasahau mamazenu?! Waarabu wanawafumua fumu fumu! DFHKMBLBH

Kichwa bitumen niayee

"Heads shaped like passion fruits "