Hehehe, hawa bado wako kwa system ya physical confrontations na mimi ni wa kuobeka na ninaenda. Siwezi iba ng’ombe na naweza develop app.
1 Like
but system ni ya watu yenu, mutu yako, kabila chako, jambas wenu, mutu yenu…

1 Like
Sasa unatake nibishane na mtu alienda shule kuvaa viatu?
1 Like