Bei ya mkulima mdogo
Mafuta inapanda au itashuka mdau?
Ile kamati ya roho chafu bado iko?.
Fill up your tanks today…
Petrol +11 Kshs.
Diesel +15 Kshs.
Kerosene +1.5 Kshs.
Petroleum Development Levy is Kshs. 5 up.
Thank me later.
Ngai mwazani.
Watu ya diesel tunamaliswo kiuchumi.
sasa nini hii shait
Kiongos, SGR haijafita kazi?
You were not off
Admin pitia hapa, hebu twambie vijana wa standard eight @hakimoto na @Meria Mata wanawezaje kuwa na rank ya Elder Statesman kabla mimi na wao huingia hapa wakati wa holiday. Miaka yote naitwa Elder, hadi lini maze? #JusticeForMchezaji
Hapa lazima tu resist
Aluta continua #JusticeForMchezaji
nikijenga foundation ulikua wapi?
Foundation ipi bana? labda telegram channel na kijiji cha upinzani ulianzisha kikafeli.
Hizo Tabia za Muthamaki kurecognize Agwambo bada ya kujichampisha Uhuru park na kuruka kijana wake wa mkono Sugoiman, Admin mmwambie aziache. #JusticeForMchezaji
Chungulia huku from time to time.
we are one
no matter what
hapo umezungumuza kama mwanaume wa mana, hongera.
Asalam aleikum, aleikum Salam, Kuna wenye wivu, utoto na balaa,
wakileta shida watabaki kuwajivu,
MGTOW watabaki kuwa mang’aa
Matapaka in building, sema brrrttthhjjk, ayuyuuuu…Leo na mwaga ntaaaaaaaani, hehe
Mbele iko sawa
Hii increase imeharibu maneno
Wacha chocha, unless unachungulianga watu kwa choo, paka shume,hehe