Sakata la Korosho

https://www.youtube.com/watch?v=XpU0XEDWYgA

Wale mambulula wa PK na Jiwe msikilizeni Zitto na mtulize akili zenu. Ubabe unavunja Katiba. Tusubiri muarobaini wa wavunja katiba. Lakini ndiyo hivyo tena Ndiyooooo imepita.

Dimaga…

Leo nimepata kujua maana halisi ya neno 65/35 kwenye zao la korosho…
Asante mleta uzi

[FONT=courier new]Zito Kabwe anajua Kweli kucheza na ’ Akili ’ za Wapumbavu wengi wanaomuamini na anaowaokota kila uchao.[/FONT]

Kuna taahira moja linahororoja hapa ndani, umeliona mkuu? Majitu mengine ni hasara kabisa!! Zitto kawashushua ile mbaya, Jiwe ameweza kuyahadaa mataahira wenzake!!

Kondoo wa sufu mtoa post

Hilo lenye jina utadhani dawa ya gono? Hata mie nalidharau sana siku hizi

Lenyewe linajitambusha kama linyarwanda!

:oops::oops::oops: Hmm! Kaazi kwelikweli…

Mmmh

Bora niokotwe akili zangu na mtu makini na mahiri kama Zitto…
Vipi Taahira kama wewe unaeokotwa akili na Chizi Lusinde Kibajaj…?!
Jinga kabisa.

Huko bwege halina akili Mkuu…
Umewahi kuona wapi mtu anajiproud kujitambulisha yee linyarwanda.

It would have made sense if your observation had pinpointed where and how Zitto’s got it wrong. Whether anacheza na akili za watu au la; the fundamental question here is; alichokisema ni uongo au kweli? Kuwaita watu wapumbavu kwa kuwa wanauona na kuuamini ukweli kunasababisha niamini kuwa kuku wanakuzidi intelligence quotient.

We ni mccm wa hovyo sana unatetea ujinga kwenye vitu vizito ptuu

Tatizo binadamu ni wabishi sana…

Cc: @Mahondaw

Jitu la ovyo kabisa hilo!

Wapumbavu na wale wanaomwabudu Jiwe na PK kama wewe

Hili lipumbavu ni kati ya yale yanayomwabudu Jiwe na PK. Anapotosha tu anaomba nchi yetu iporwe kwa manufaa ya wanyarwanda

[FONT=courier new]Sasa kama nyie wenyewe wenye nchi yenu hamna ’ akili ’ na ni ’ Wapumbavu ’ watupu pamoja na huyo @Manjagata wako kwanini Sisi Wanyarwanda wa ’ Kitutsi ’ tusiwatawaleni? Na kaeni mkijua kwamba sasa hivi Rwanda ndiyo inaitawala kama siyo kuiongoza Tanzania yenu na tutawatawala hadi pale mtakapopata vizuri ’ akili ’ zenu ambazo nyingi mmeziweka katika ’ Korosho ’ na michezo ya Upatu kama siyo ya Bahati Nasibu.[/FONT]

Dictators never learn from the mistakes of others before them, eventually the masses ensure they either flee or are killed.