SAIDIENI PEASANT KTALKER

birrioneas wa kt…ndugu yenu hapa nilifutwa early dec…nmekua nikistruggle kupata kibarua…kuna mtu hapa anaeza niokolea na job…juu nikona famere na naona nmeanza lemewa na mambo…

thats me and my 1 month olf son[ATTACH=full]293999[/ATTACH]

Cc: @Mimi Huwa Namwaga Ndanii

Niliona ukitusi senior elders kwa fujo sana, ukitumia maneno Makali kama " tombwa mkundu" ambia senior villagers pole kwanza wakusamehe

Wewe ata anonymity umekataa,in case @Thiem akuitie kibarua usiende.Hatutaki kesi baadaye.

Pun fully intended

Wekelea CV hapo sio picha NV

sawa kiongozi

First villager to reveal their face … You must really be desperate …
Apart from you , @Thiem alireveal kitambi yake imejaa bad fats na @Agwambo alireveal magoti ile tym janitor wa airstrip akasema ni pilot…

@Randy tafutia jamaa kazi ya mkono

Wiki ikiisha kama hujataja Enigma huwa unawashwa na kinyambis ama?Put some respek on the name you bonobo

Huyo jamaa sijui kama anaweza,anakuwaga na makorooo sana

mbona wakenya mnaazaana kama panya na hamna kakitu?

And a new villager has all this goss about old talkers?? mmmmmh ya dunia ni mengi hihihihihi

First of all,congratulations,mtoto ni baraka,natakia mtoto maisha mzuri.
Second of all,mbona uko na mdomo sewerage?Umetusi watu hapa left right and centre over small small things bana mpaka una mention people’s mamas kwa matusi.
Naskia elders wa kijiji wako na meeting.Omba msamaha wakusamehe matusi kubwa kubwa uliyo wa bingiria

Ndio namwambia, anyenyekee

@rollout akupe job

Weuh! Saa ii zile job ziko zinadai skilled labor na zingine client wamesimamisha. Nikunoma.

Wtf? Are you talking about…

Imagine 10 mentions in ONE thread and close to 50 tags just this morning… enyewe Thiem ni msito … you want likes and views just tag me

Ngoja usifiwe bana.Nyamazisha kinyambis.