saidieni navy seal dryfry artist chaiman

Kidole ya kati ya mguu ni refu kushinda zingine salaala[ATTACH=full]164185[/ATTACH]

ahsande , nai mount kesho nikitoka waks omwami . ndio imeland sato

Hio tv ni 4K 3D ama ni HD 3D?

Mgisu mbona unaita mtoto mjulubeng?

inaitwa mutation babaaa . as Darwin alisema evolution inaendelea mimi na Clichy and co ndio the future of humanity . kwanza siku moja ntawaonyesha Pires ako na heart mbili :D:D:D:D

4K 3D

Hiyo ni glass mug ya abc bank?

HUYO NI MSITO FREDDIE LJUNBERG MWENYEWE next kid ataitwa Bergkamp . watoi wangu wote are named after Arsenal players , uzuri sijawai sire dem . sasa wewe mkale mshamba kazi ni kuona volleyball huwezi tambua hizo jina

Na ulikuwa na bahati aje ukapata 3D tv? I thought they stopped making them in January last year? Sony and LG made their last 3D TVs in 2016.

Even blu ray 3D movies are quite hard to find and only a few select films per year.

YOU HAVE TO KNOW THE RIGHT PEOPle in the right places

Ningekuwa Fala kama wewe mgisu ningekuwa Na watoto wanaitwa Dwight, Cantona Scholes Na Ryan. Lakini I won’t blame you, hapo ndio ujanja yako imefika. Drink lots of fluids to rehydrate.

Wachana na gilbey’s utafute a good whisky hizo huwa hazina Hangover

:D:D uzaa makaaa hapo kimilili forest bila kutusumbua

daktari alisema nikunywe gibleys pekeee

Kufa polepole basi

Hii panya ya wenga inasumbua

Huyu ni t-rex

The only thing I have noticed is you have said nothing we haven’t read from you before.
Panya.

I know an idiot who named his kid Wes Brown.I guess the boy is by now in secondary school.

:D:D:D some guys are fanatics.