hangover inaniuwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa banaaaa sina appetite mwili imechanganyikiwa akili inasema hivi mwili inafanya tofauti . chmicals zimechangayikiwa kwa mwili . Clichy amekaa mbali na mimi , Pires hataki mambo yangu , Ljunberg tu ndio ananisumbua bibi ameninyima haki yangu ati nanuka pombe ya janaaa hakuna usingizi nimelala mchana , sioni nikiingia waks kesho saidieni wadau . wacha nikae kwa reclining chair . nimenunua TV mupya janaaa curve TV Sony 3D tv 60’ . the old one nimeweka kwa bedroom . na just by the way nyumba nimenunua si ya ku rent unaskia @Mathaais . ahsandeni
:D:D:D:D:D wakenya si mko na wivu weka bidii na uombe year 2950 descendants wako wataishi hivi kama mimi . si mimi niliambia baba yako ahepe class aende kuvuta tumbako nyuma ya choo baba yangu akisoma chemistry