sacco

Muko wapi?

Sacco gani ingine saa hii???

1 Like

Wewe piga ripoti kwa O.B. @Meria Mata ndie ako na roll call

1 Like

kuna usiku sacco wenye wanalala mapema na ya night runners:D

Sikukua nimeona ya M2 blame it on withdrawal symptoms za pombe najaribu kuachana nayo, roho itaka niwachane nayo lakini mwili umekufa nguvu.

1 Like

hii nayo ni ipi? Nway hata hii Present

one day at a time bro…utatoboa…

1 Like

Bsngi isiwe huru