Sabina joy down

Wametoa signage na bado sija ingia hapa…sasa nitajua aje.? Vip is next nikubaya, lazima i work

3 Likes

Enyewe county council askaris ni watu bladifaken sana nilikua tao naona signages wamezitoa na zingine wanavunja na hakuna kitu wanafanya hii jiji. Watu bladifakin sana.

4 Likes

Hii ni laana, hio kitu haifai kuguzwaguzwa ovyo ovyo na kufanyiwa vile imefanyiwa…itabidi watafute wazee bure…

4 Likes

Sabina joy is not actually called Sabina joy.

The banner outside is Club Sabina…

And jamaa is walking around with goons to protect himself

Wasiguze calabash

Lazima Iwank…hakuna kuenda Sj

Bado iko open.

Si the county can be sued in court naona business people wengi wamelipia dooh ya this rights za signs za biashara zao even full year but zinakua vandalized na hawakupewa notice pia.

3 Likes

That fool should respect such a place. Its older than his father too