Raila left no vacuum. Gen Z youths have already taken over. His worst nightmare now is not Gachagua as my fellow Kikuyu @Landlord says. It is the youth. Politics is changing across Africa. Ruto akifanya blunder kidogo sasa he is gone. Gen Zs fear no bullet and they are well informed. I think he signed the controversial cyber crime bill to suppress freedom of speech. kwanza hio bill itamletea shida
He can sign all bills he wants lakini atajua Kenya sio ya mamake and that hii sio wakati wa Moi.
Signing bills in secret while the country is mourning showed he is a conniving evil man.
After hii mazishi hiyo Bill Ndio italeta Maandamano. Kenya sio YA MAMAKE, TAKATAKA YA MTU. MAVI YEYE
For real tuwache ku insist on GenZ being the headache…kenyans in general wamekuwa more militant aggresive hardened and resilient thanks in part to the late Raila na his civil mobilisation. Siku hizi ni kuzika kupumzika na kurudi streets.
Halafu joh hawa watu mnaona kwa your screens causing chaos…hao ndio the true face of kenya…hao ndio like 95% of the total population and theyve been slowly nibbling the hands that feed them one or two chomps here and there…but vile naona hivi karibuni they will take a mouthful.
Can’t even dream and you’re rambling about nightmares kipii. Ngoja upangwe.
Huku mazikoni mambo ni wantam!!!
Wantam it is.
Takataka arudi sugoi
Mambo ni tutam chairman. Acha rustler nikule serikal kwanza. Sahii kama KANU tuko kwa broad based government.. tunamumunya pesa ya mraia pole pole. Tulizeni kende wadau..
It’s not about individuals.. but Kenyans.
Naitetea nchi… Kukula huwa haini motivate kaka.
Nadai tu kuona everything working. Good roads, working health systems, education system pia iko tu sawa. Kukula nimekuwa nikikula since nizaliwe.. so sioni gani ingine itajaza mahali sijawahi jaza.
Hawaheshimu hata DJ?
The wantam wave is being propagated by 2 demographics that are very problematic when it comes to voting, the young people na watu wa pombe. there is a reason local chiefs huambiwa wafunge bars on election eve.
to make it worse its being amplified by the social media demographic which I think is mostly made up of the above groups.
It’s Gen Z’s all over the world. In the West, the Gen Z level of racism and antisemitism would make Hitler and the KKK blush.
Terrible and fearless generation! I don’t know what will happen when they grow up and get into leadership positions. It doesn’t look good at all.
Maranatha.