Watuwameanza kufunga mecho
3 Likes
Noma sana. When and where was this?
2 Likes
Mahasora are tayad.
1 Like
Hehe, kubeba watu ufala ndio zake. Sasa hao ni watu wangapi anahutubia yeye kama rais? Watu wamechoka kweli. Nimehesabu na hawajafika 100. Juu ya hio maneno I will vote for him in 2027. Help me lord…