mimi naenda prayer meeting tukatusi icc,nani anataka twende tukatusi icc ?nitalipa fare na lunch na pombe
Kwani umekula datura?
sychophant niaje?
wewe maombi yako itafanya huyo mkale afunguliwe boot na taylor.
stick to your lane ya kuuza vichwa,mutura,matumbo na miguu ya kondoo
naona mliomba matusi wazua…
Mimi naomba huku bungoma mtu flani afunguliwe boot huko Hague na sijataja yeyote.
i have never been to that ghetto.this is enough
Matusi kwa maombi. Chungeni Mungu asiudhike zaidi.
Chunga sana wakameat, I hear Benfunda is issuing more arrest warrants.
just drove by saa hii. tent ziko excloosive tiyari for those who give a shiit. mapoko wa nyathiru will see a spike on their ROI graph
I wonder how 2017 would unfold if Ruto atafungwa. Naona Isaac Ruto switching sides awe Railas no. 2, Kalonzo arudi this other side ya uhuru then Raila achukuwe okombe
hiyo matumbo na mitura huwa inalisha kwangu nugu hii
TUNAWEZA MWAMBIA ASIENDE HAGUE TUONE HUYO MAMA ATAFANYA NINI
Nitapitia through Ruiru on way to Kiambu baadaye. Siwezi ombea Ruto. Ruto, Kipkalya Kones na Zakayo Cheruiyot ni raia tatu mimi sitambui kabisaa. Zilifanya nikule ugali ya maharagwe wiki zima Nakuru.
Alikufa na hio siku tulicelebrate.
@tm wa klist,samehea ruto,ni ule jamaa wa mashetani ya south africa aliweka ruto mademoni,you can’t hold a grudge forever
Hehe, so huyu ndo mujamaa wakuuza mutura klist ule watu wa wazua walikuwa wakisema
Mujamaa tuletee hio hekaya
ulisikia nikisema uje ulishe kwangu?
i was saying you should stick to it,umbea mwingi uwache
ruto atulie hiyo kimbembele ako nayo ya kuwa president itamwonyesha moto.
angoje 2022 lakini akifikiria 2017 haki ya nani atafungwa
na wewe ujinga uwache,ama unataka nikuandike kazi ya kupika supu?