ndiri hu-rewindiwa namna gani?
Stati kama ya Waititu.
Ngari ya thenge.
ni tofauti omwami… gari ni same but angle ni different
https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/nimeshikilia-yangu.23901/
hehe hata simu ni ile ile… lakini miraa ni tofauti hii ni picha mpya
Nguruwe majani achia mbuzi
Tiga úrimo mùdú. Cheza chini
Thanks for the reminder. Kalikuwa kashashika tayari
Seriously … na ndo nlikuwa nmetoka kwa baite
wapi gari ya mwaarabu
[ATTACH=full]103860[/ATTACH]
Cheki New kid on the block, deree wanapelekwa SA for 6 months kufundishwa kukata huyu munyama
Nyinyi wawili … chyeth!
Afande @pampas leo uminelemea hadi wasiwasi ya andas imeanza kupotea
[QUOsamMeria Mata, post: 1015843, member: 139"][ATTACH=full]103860[/ATTACH]
Cheki New kid on the block, deree wanapelekwa SA for 6 months kufundishwa kukata huyu munyama
[/QUOTE]
Hii mnyama inakaa kitu ingine tulikua twaendesha airport miguu yote ulikua unacontrol Na steering ilikua inaitwa donkey
Uvoo waku
Kush, where do you get miraa hapa Dubai?
Jinga
Huyo mnyama hawezi escarpment.
Yes he can, yeye ndie atajenga next stage of SGR
hii sio ile nmeiona nje ya yard ya transeast?