Road trip to nowhere

ndiri hu-rewindiwa namna gani?

Stati kama ya Waititu.

Kush anatuchenga hapa,hii hekaya aliweka last year hapa @Ice_Cube ,leta link?

3 Likes

Ngari ya thenge.

1 Like

ni tofauti omwami… gari ni same but angle ni different

https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/nimeshikilia-yangu.23901/

hehe hata simu ni ile ile… lakini miraa ni tofauti hii ni picha mpya

4 Likes

Nguruwe majani achia mbuzi

2 Likes

Niko na memory, @kush yule mnono ,wacha kutubeba kama nvs.

1 Like

Tiga úrimo mùdú. Cheza chini

1 Like

Thanks for the reminder. Kalikuwa kashashika tayari

Seriously … na ndo nlikuwa nmetoka kwa baite

1 Like

wapi gari ya mwaarabu

2 Likes

[ATTACH=full]103860[/ATTACH]
Cheki New kid on the block, deree wanapelekwa SA for 6 months kufundishwa kukata huyu munyama

7 Likes

The influence I was talking about @pamba @kush yule mnono chunga husipotee Leo kush

1 Like

Nyinyi wawili … chyeth!

Afande @pampas leo uminelemea hadi wasiwasi ya andas imeanza kupotea

2 Likes

[QUOsamMeria Mata, post: 1015843, member: 139"][ATTACH=full]103860[/ATTACH]
Cheki New kid on the block, deree wanapelekwa SA for 6 months kufundishwa kukata huyu munyama
[/QUOTE]

Hii mnyama inakaa kitu ingine tulikua twaendesha airport miguu yote ulikua unacontrol Na steering ilikua inaitwa donkey

Uvoo waku

2 Likes

Kush, where do you get miraa hapa Dubai?

Jinga

Huyo mnyama hawezi escarpment.

2 Likes

Yes he can, yeye ndie atajenga next stage of SGR

hii sio ile nmeiona nje ya yard ya transeast?