Risks ya Mobile power bank, moja imelipukia boy kwa mfuko

Jamaa ameweka Power bank kwa mfuko na iko ON ina charge simu…fala pia alikuwa anatembea na kuna solar mbaya… Kuna kitu inaitwa manual mtu yangu…take time kusoma precautions kwa manual ya eletronics u buy. The manual has a precaution warning u not to expose the power bank in an unsafe environment such as high temperature or humidity. Fala imeweka power bank kwa mfuko & puts it on na kuna joto…What else did he expect

See mdomo kauka
[ATTACH=full]11094[/ATTACH]
See Trouser…upararo nayo
[ATTACH=full]11095[/ATTACH]
[ATTACH=full]11096[/ATTACH]
[ATTACH=full]11097[/ATTACH]
HII ndio ubaya ya Technology kufikia watu wa Ocha kwanza interior kwenye hakuna stima…Deserves two hot slaps

[ATTACH=full]11098[/ATTACH]

1 Like

atleast hapa kuna evidence.

@Jirani is that the same guy who was sausaged by a Kayole chick?

2 Likes

Story ya huyo mrembo ndio gani? Kwa sababu naona injury iko kwa mabega… power bank ilifikaje apo?

Haifai kulipuka ukiweka kwa mfuko. Je ukiwacha garini? KEBS wako wapi?

Am glad haikufikia Oparanya yake. Tungekuwa na another wasted resources

Mundu, am not sure

kwani ulikuwa na interest gani na mdomo yake?

This is a decomposing body. I dont see any explosion there.

hahahaha!! Atleast hii si hekaya… alafu hizi power bank kuna zingine wamelabel Amphere yenye ata haifikii… nkt!! Thank God BOJONGOO ya jamaa wa safe

And that is why I prefer extended batteries to power banks

Nahurumia sana watu wa powerbank

[ATTACH=full]11291[/ATTACH]