Waheshimiwa, ati mlisema ile blueband huwa kwa mkebe kubwa ndo inaitwa butter mzinga, au?
4 Likes
Ngoja Village Elders wakuje wakujibu vizuri. Meanwhileā¦
[ATTACH=full]35176[/ATTACH]
13 Likes
Tupe hekaya za retardville.
2 Likes
@ninii hatuwezi ita blue band butter juu tunajuwa ni margarineā¦
4 Likes
hehe⦠sijui ata kwa nini nacheka
Weed
1 Like
kaulize shopkeeper here ni mabilionares pekee, maboch dio hufanya shoppings home
Hawa ni wale husema eti wamebebwa na Nissan matatu ya Toyota wakiwa safarini.
1 Like
ni apewe ile kiti ya @Web Dev
Kwa nini inaitwa blue band na inakuwanga ya yellow?
kaukeni polepole bila kusumbua raiya hapa.
1 Like
ilikuwa inaliwa na band iliocheza blues hizo enzi
1 Like