Remember Guka's niece? She got married by a redneck

Habari ndio hio

[ATTACH=full]49363[/ATTACH] [ATTACH=full]49364[/ATTACH]

East Buru
Wedding kama hizi hua tricky. Unaweza skia kuna relatives flani ama wazazi walikataa kuattend kuona mtoi wao akiolewa na guka. Alafu dem kama huyu kwao ako branded kichwa ngumu hata kama ako na mulla

niliona kwa paper a mjeru aliperembwa kila kitu ispokuwa travel documents anabeba kwa gunia I pity this old wazungus who found love in exotic Africa.
mwingine hapa anakamuliwa
https://www.reddit.com/r/Kenya/comments/4tagma/premarital_agreement_for_dowery/

hiyo sura kuna mtu mwengine angekubali kweli? Nyangumi makeup imesaidia.

True alaf wanaendaga majuu anakua alienated na famo ya kwake, maisha ya loneliness inaanzia apo… Cheki ata io wedo ina mtu ngapi, c ety angetaka kuita more people ama pesa hana she knows it’s shameful lakini mbesha lazima zitafutwe

Tuliuliza @admin afungue Ktalk Salon sijui kuliendaje?

Hata paka mzee hunywa maziwa, kare kii?

she looks like a shiny eyed girl

As long as they are consenting adults, unaachana nao. Lakini hapa ni Khaaard.

ng’ombe hazeeki maini

mnanze kwanza apo wanafanyia wedo ni thika. fuck

Kitu funny na hawa madame wakenya wanafuata doe ya mzungu ni hawajuangi kuna kitu inaitwa exchange rate. Wanaona mlami amekuja wanafikiria huyo mlami ni millionaire only for them kustukia mjamaa labda ni janitor huko kwao ni vile huyo mlami alisave doe.

uyumwoman ni nani

so? kwani kuna pesa huwa imekaangwa si pesa ni pesa tu…

Imagine ungekuwa whiteman umekuja kenya kuenjoy your hard earned cash alafu you tell kenyan shining eyes wewe ni janitor huko kwenyu do you honestly think hawa wanawake watakaa na wewe? Mimi personally sikuangi ninadharau kazi ya mse juu ninachukia classism.

HEHEHHEEH HUYO NJERI ATANYONGA HIO PAKA MZEEE AHEPE NA PESA