The fact that the white man condemned polygamy and he is condoning homosexuality shows how religion is scam.
Juzi niliona Pope akidai ati mtoi wa kwako akidai yeye ni chichi unafaa kumkubali vile ako na umpee encouragement. Madness of the highest order. Kuanza huko vatican ndo kumejaa ma father wana molest young boys sexually. Alafu mjinga anakam kuniambia ati nisipo repent ntaenda hell. Sasa kati yangu na huyo father ana molest mtoi nani anafaa kuenda hell.
Kuanza nilichorea story za church kabisa. Hypocrites wamejaa huko kwa wingi.
Hata juzi Papa alisema kwamba fonikeshen si dhambi mbaya saaana vile, ni kidogo tu.
Nikajiuliza- “Hivi tuseme Sir Jah aliongea na Papa akamwambia amefikiria awache kukasia wasee sana?”