Regional Commander does it again.

He has been given wings and he is flying.
Maafisa wa polisi wamenasa bangi yenye thamani ya shilingi milioni 1.2 katika eneo la Mwabila, Wilaya ya Kinango.

Maafisa hao walisema kuwa bangi hiyo ilikuwa ikisafirishwa kutumia gari dogo aina ya Fielder kuelekea mjini Mombasa.

Polisi hao walisema kuwa walishuku gari hilo kufuatia fununu walizopata awali.

Waliokuwa katika gari hilo walitoroka na kuliwacha walipogundua wanaandamwa na polisi.

Akithibitisha kisa hicho siku ya Jumatano, Naibu kamishna wa kaunti Kenneth Gitonga alisema kuwa uchunguzi umeanzishwa kuwasaka waliokuwa wakisafirisha bangi hiyo.

Gari hilo lilikuwa likisafirisha zaidi ya misokoto elfu sita ya bangi.
[ATTACH=full]29859[/ATTACH]

1 Like

funny, suddenly @Bhangi iwe Huru has gone all quiet…

2 Likes

Bhangi alizima kitambo sana. This year ni kaa aliamua bhangi si dawa…:D:D:D

1 Like

but where is he? he was a worthy adversary who defended his position with intellect…

1 Like

Inakaa hata ali-disable account yake.

he ditched his old username in favor of a new one …

1 Like

which is thew new one, please tell?

no idea … i was part of those “left behind” when he started a new “life” :frowning:

2 Likes

Life bila Bhangi…

yup!

Why is mombasa the bearer of all sad news?

http://cimg1.ibsrv.net/gimg/honda-tech.com-vbulletin/356x200/80-200_6970c94e6bc49fc8f9e1c718378df3f78950f6a2.gif

Shida ya mombasa si bangi …ni Uhuru, tembe na unga jamani

2 Likes

:D:D

https://i.ytimg.com/vi/y9lHgBBoizU/maxresdefault.jpg

http://9buz.com/content/uploads/images/August2014/8fd8cad7b0c188e84299422901d0a6be.jpg

1 Like

you trying to fit in the abandoned shoes? give it up already…!

I know bangi will be legal in Kenya in my life time. I aint giving up.

he he…not if i can help it…a long life though…

fucked up news…weed is just a plant,but when u set it on fire ohhhh…blaze till i craze