Nani anajua huyu kabla nijiingize kwa matatiso?
[ATTACH=full]478306[/ATTACH]
anakaa kunuka miguu juu ya hizo ma simbaland :D:D
i find such shoes looking extremely funny.:D:D
You guys my guy niaje
niaje niaje my guy.
Fiti fiti, leo nitapika ugali nikule mabaki ya @ugali ya jana na mala kama supper
bado wanaunda simbaland waaah, niliona ule jamaa wa huku yues akionyesha timberland origi ni 200 dollars hio ni karibu 25k imagine
Anakaa kuwa na matako poa. Ebu kaambie kapenduke
Simbaland na Arafat na Bado unataka kukula?
[ATTACH=full]478476[/ATTACH]
Omundu strong @ugali ya jana na mala
Elder mzima huna kikombe
Kijiji imejaa maskini
Na wezi
na Timberland?
Usikuje kuiba @ugali ya jana nilibakisha ghaseer hii
But they are very durable no doubt.
timberland have a history unlike hizi matumbo watu wanavaa hapa nje.
Timberland ni kiatu ya heshima. Ipewe heshima yake. I ma planning to have all colors like Thanos stones, orginal that is.