Recce Squad Officer Killed By Thugs On Way Home After Viewing World Cup Matches

He was in the company of his brother and a friend when they got accosted by a gang of Seven men. One of the thugs was supposedly armed.

His brother and friend sustained injuries and survived, inaonekana yeye aliamua Ku fight na Wasee saba kama Rambo kule Vietnam.

[ATTACH=full]482847[/ATTACH]

Raia wanakufa left right n center. Due to thuggery.
So this is meffi news in my ears.

Watu wangoje kichapo. Serikali haiwezi kubali kutumia pesa kutrain mtu alafu anauliwa hivyo tu. Vijana wa hio area watafute shangazi anaishi Mombasa wamtembelee ama wavuke border juu wanakujiwa.

If the guy had been drinking the training did not help much. Plus If one of the thugs was armed then he had no chance.

Bonobos amaze me. Has this strategy ever been known to work? Sii vijana innocent tuu watapigwa na kushikwa? Huko kwa British Granadiers we used to have what we called the Fighting Patrol. Kama ni hapa Kenya unashikanisha county kama nne unavuruga kidogo but led by intelligence sio violence on innocents.

This is the problem of joining Recce through the backdoor. A well trained commando should have assessed the situation and known this called for flight not fight.

If “tell me you bribed your way into the kp without telling me you bribed your way into kp” was a person

Collective punishment techniques when the colonists used to smash young men and male children with bulldozers and burry them under tarmac roads until the roads ooze blood when one of their shitty chiefs/enforcers got what he deserved

Na kweli, hii kamtu kaliingia aje GSU? Anyway siwezi kalaumu coz kuna.mbilikimo kwa family yetu also serving in the GSU after kufanyiwa deal na a taller cousin. The last time we had a family function ya matanga just after he had passed out and gotten posted kalijaribu kututisha eti juu sasa yeye ni karau. Hata sio sisi tulimuinua. Our various goons who hang around for 50 Bob ya chwaka ndio walikabeba wakakatupa nje ya boma with a warning wasione mapua yake hapo karibu tena.

True. Poor strategy if you ask me.

Pole kwake,lakini ni poa when such thing happen to this kind of people ndio wajue what raia ya kawaida goes through.

Wenye waliua yule wao mwingine wa SuperBike pale karibu na Ashaki sidhani wameshikwa

upuus

Utakuta the drunken fool probably identified himself as police to the thugs and tried to arrest them

Mnaona @johntez addi gaza msafi akikula Christmas ama atakuwa Christmas ya mchwa?

What if this wasn’t an ordinary robbery but a cop silencing a witness?

Or a revenge mission

A real Recce Officer would have taken out all of those thugs without a problem …

Alcohol impaires your thinking and sight

Uwesmakende niaje?

Recce squad wanadhani ni robocop