reCAPCHA hii n system iliyotengenezwa na luis von kwa ajili ya kuhakikisha mtumiaji wa simu au compyuta n binadamu na sio bot, bot/web bot/robot n software ambayo hufanya kazi yenyewe bila kuendeshwa(automatic) na kufanya kazi mbali mbali kwenye internet mf kama hv ku sign up kwenye app tofaut au webs. Ili kua na uhakika kama anayejarb ku sign up n binadamu na sio robot hapo ndipo reCAPCHA huhtajika.
Turud hapa sasa , sio web browser zote zinasupport reCAPCHA hvyo unapokutana na hili neno hakikishaa una web kati ya hz kweny cm au pc yako, SAFARI, MOZIRA, CROME AU FIRE FOX ikiwa active. Ukitumia google au operamin kama default huwez kufanikiwa labda itokee waku redirect, popote kwenye reCAPCHA mara nying lazma watakupa link inayoonesha supported web kwa reCAPCHA, Unachotakiwa n kufungua link ikfunguka utaona kat ya hzo nilizokutajia(nakushaur tumia crome) na hakisha ipo active, isipofunguka basi jua simu yako haiwez kusapot kat ya hzo web au ina android chini ya 4.0, kwaio utalazmika kutafta cm nyingne ujiunge halaf ukisha jiunga unaweza kuendelea ku log in kwa simu yako(log in haihtaj reCAPCHA). Ukishafanikiwa kufungua hio web eg chrome moja kwa moja utakutana na reCAPCHA TEST, ambayo mara nying utaona vijiboks vya mitaa vikiwa na content tofau tofaut mf magar au alama za barabarani huku akikutaka u tap(gusa) kìboks chenye kitu anachotaka yeye tu, kuna option ya kubadili swali kama unaloo ni gumu au halionekan vzr. Baada ya hapo kuna sehemu ya ku veriey, kama umepatia mara nying kuna kijisentesi kinakua kwa chin mwisho “I’m not a robot” kikiwa na kijiboksi kushoto unachotakiwa u tick. Then your done kama ulifuata kila hatua vzr. Mwenye nyongeza anakarbishwa tusaidie wadau mana weng naona n guest.