Governor Sonko has been dragged through mud and harassed by Uhuru govt. All that time these Ukambani watermelons have not uttered anything until today when they showed up for a PR exercise to show solidarity. I bet with Mûndû Milosi’s single gonad that if Sonko was a close Luo confidant of Baba, he would not have been subjected to this torture. Baba would have mobilised his goons to cripple Nairobi’s economy.
sonko ni rafiki ya Uhuru. hakuna shida anapitia. wacheni kuhurumia yeye. atatoka. ii ni siasa tu. siku mbili tatu atakuwa nje. urafiki ya Uhuru na Sonko sio kama ile ya Raila na Miguna.
hapana. thse are politicians. ii ndio hali ya siasa. unakumbuka ile siku baba alikula teargas kutoka airport? kila mtu akasema baba kwisha? baba ako ikulu leo. ndindi nyoro walikua watu wa uhuru, leo ndio wanakula teargas, leo ivi, kesho vile, lakini huwezi predict kesho itakuwa vpi kwa siasa. ile muhimu ni kusupport mtu mmoja bila kusitasita, awe kwa power ama awe nje ya power
What kind of support are they assuring him of? Ya kutukana mutongoria ama ya kuform the so called terrorist cell in Kenya as stated in the charge sheet
Not probably… c’mmon now. If Jakuon tells Uhuru that Miguna should come home avenues will be found. We are now in a proper dictatorship. If you don’t know anyone TALL in gava…pls nyamaza na ufanye kazi and save some money.