Real thirst

Niko nakumat likoni for my Gilbeys na laini ua liquor ni ndefu kama ya general election. Yaani tumejaa hapa pombe room mpaka Ac iko overpowered. Thos thirst is real. Madame ni kaa 70%.
Naona nikiacha pombe

3 Likes

Picha?

2 Likes

ata mimi kuna wakati napata line mrefu nakumatt lifestyle na ni watoto na kiherehere mingi nasikia kama nitaacha pombe

Picha tafadhali buda boss

HOYA nominee

Wazee ni kupewa kwa hao wakirelax[ATTACH=full]23253[/ATTACH]

6 Likes

Na vile nimezungukwa na pombe sijui nifanye nini… Pole son of Mabends

welcome back @le scumbag.
mie niko nakumatt bamburi na promotion na hizi ma jeggings zaniua

Leo nikiskia harufu ya pombe Nita puke

welcome back @le scumbag.
mie niko nakumatt bamburi na promotion na hizi ma jeggings zaniua

Nimeharibu bundles zangu kwa hii thread nikifikiri thirst ni pink handle na wewe kama V.E unajua hekaya huambatana na mbicha.

Nishawahi ona mulevi kwa supermarket ako na mzinga one liter kwa line akaona anachelewesha jamaa aliifungua kitambo afike kulipa chupa ilikuwa empty akalipa chupa empty, hio ndio thirst.

3 Likes

Alternatively…[ATTACH=full]23256[/ATTACH]

3 Likes

:D:D

1 Like

Sijui kwa nini naona ni kama hapo ume tunyoa bila maji, but haisuru.
Isokey

3 Likes

Hiyo brand inaitwa bomb? Na Ash-tray ni ambition ama ushai kanyaga amsterdam? If yes, hekaya pap!

Time umeweka hii post pia mimi nilikuwa kwa hio line ya Nakumatt Likoni. Saw a couple of people on their phones. Inaonekana ulikuwa mmoja wao! Service was very slow. Sasa gauge imepanda…lakini pombe hio inakwisha…

Hata wewe unakosa kueka mbisha??? o_O

1 Like